Njia Tano Za Kijiandaa Kwa Interview...
1. Fanya utafiti- Conduct a Research. Kama umeitwa interview na
haukuwa umejiandaa ama umearifiwa kwa kuchelewa, labda umeambiwa ni kesho ama
ni ya jioni, hakikisha umefanya utafiti hata kama kiasi tu kuhusu kazi yenyewe,
kampuni na ni nini kinachohitajika.
2. Panga stakabadhi zako- Arrange
your papers/Docments well. Sababu uko na masaa machache to ndio uende hiyo interview, zipange
karatasi zako vizuri na ziwe nadhifu.
3. Andaa historia/hadithi fupi
kukuhusu- Prepare and memorize your story. Hakikisha unaweza jieleza na kueleza vile unaweza
fanikisha ikiwa utapata hiyo nafasi. Jiandae ama ubuni vipi utaweza kujieleza.
Muhimu sana, jiulize wewe ni nani?
4. Utavaa nini na aje? What will you
wear? Ni nguo
gani utavalia katika hiyo interview? Utaivaa aje? Hapa pia inategemea interview
ni ya nini na muktadha wake. Kama ni kazi ya ofisi tafuta suti, hakikisha
unaivaa, isikuvae, nhaha, piga pasi na utakuwa nadhifu/smart.
5. Wakati- Keep time. Usichelewe hata kidogo kufika
katika ukumbi/Venue wa interview yenyewe. Fika kabla ya wakati tafadhali rafiki
yangu. #ASANTE

No comments:
Post a Comment