Kujiandaa kwenda raha usiku...
1. Mahali pa
kwenda- Where are you going? Hakikisha unajua vizuri mahali ambako unakwenda out. Kama hupajui basi tafuta rafiki ambaye atakupeleka.
2. Vipi utafika na kurudi? Plan how to get there and back home. Panga
jinsi ambavyo utafika mahali pa kujivinjari na pia utarudi vipi nyumbani. Kama
huna gari lako ama rafiki yako hana, chukua namba ya taxi-driver, achana na
sponsor!!
3. Pesa za
ziada- Have extra money. Kwenda kujivinjari/out ni gharama. Kama
huna pesa tafadhali ngoja tu. Hakikisha kama unaenda out uko na pesa za ziada
ili kuwa salama kwa lolote likitokea, wanasemaga just in case.
4. Tafuta
mtu wa karibu- Choose a guy for the night out. Wakati
unajibamba, hakikisha kuna mtu ambaye anajua mahali uko kila saa. Kama unadance, hakikisha anajua mko na nani,
ukitoka nje anajua umetoka na nani.
5. Kula
kabla- Don’t go out while hungry. Kula hata kama ni kitu kidogo
angaa kitulize njaa. Usiende kujibamba kumbe uko njaa, utazimia rafiki yangu. Utachekwa
ukienda miayo kwenye party. Vile vile
kunywa maji ya kutosha, maji ni uhai.
6. Vaa
vizuri- Proper Clothing. Hapa ni kujibamba/kujinice. Vaa kulingana na
mada ya night out. Usivae pajama wala apron. Jibambe kwa raha zako.
7. Usibebe
vitu za dhamana sana- Avoid valuables. Umeenda kubambika sio
kujionyesha ama kujiuza. Usibebe dhahabu zako usiku wa kujibamba. Kumbuka sio
kila mtu ako hapo kujibamba, kuna mwenye atapangia hizo dhahabu zako. #ASANTE

Key tips there to note,, hapo kwa extra mullah!! Anyway ni Friday.
ReplyDelete