Thursday, 25 February 2016

HOW TO GIVE THANKS...

                     4 Ways of Giving Thanks


1. Toa Shukrani- Give Thanks. Kama ni shukurani basi hakikisha inasalia kuwa shukurani na wala sio stori zingine. Usiwaudhi watu ama mtu.

2. Tuma ujumbe- Send a note. Ikiwa hutaweza kutoa shukurani ana kwa ana, ama kama mtu ambaye unafaa kumshukuru ako mbali, basi andika ujumbe, labda sms, email NK.

3. Tambua- Recognize. Unapotoa shukurani aidha kwa mtu binafsi au kundi/ kampuni, hakikisha unatambua juhudi zake na pia mtaje kwa majina. Hii inatoa motisha/morale zaidi.

4. Panga Sherehe- Appreciation Events. Kama unao uwezo, panga hata kama ni sherehe ndogo tu ya kumshukuru mtu/watu/kampuni ambaye amekuwa muhimu sana kwako. Labda alikusaidia, amechangia ufanisi wako NK. #ASANTE

No comments:

Post a Comment