Friday, 19 February 2016

FRIDAY!!! LETS PARTY, WAIT! HOW DO YOU INVITE PEOPLE FOR A PARTY??....


              5 Tips on how to invite people for a party
 


1.Jua mwanzo unahitaji watu wangapi! How many Invites? Hili ni muhimu sana. Watu wangapi unahitaji? Itategemea na bajeti yako. Usialiki watu Zaidi ama wachache!  Jipange na bajeti kasha alike marafiki kulingana na bajeti uliyonayo tayari. Hii itasaidia kupunguza aibu haswa wakati watu wamekuwa wengi kuzidi vyakula na vinywaji.

2.Fanya maamuzi, ni dame/boy ama wote? Kuna watu hawapendi kuchanganywa, wanasema kama ni dame ni dame, kama boy basi ni boy. Wengine hawaezi kuja kama hakuna washikaji na washikwaji. Hapa inategemea party yenyewe inahusu nini. Kuwa mjanja.

3.Msahau kabisa mtu wa visanga! Disqualify person who can cause drama. Mtu wa visanga kabisa asiwe kwenye list ya waalikwa. Kuna watu ambao hata jua linyeshe ama mvua iwake, haezi maliza siku bila drama. Mtu kama huyo ataharibu party yako.

4.Alika tu watu unaowafahamu! Invite people that you know. Usialike marafiki wa marifiki zako, ah ah! Alika watu ambao unawajua, watu ambao unawaamini. Ukialikia usiowajua utajiju!

5.Epuka watu wa kuzushiana. Avoid conflict pairs. Tafadhali, hii ni party. Kama kuna watu ambao unajua wana uadui/beef Fulani usiwaalike sababu watazushiana tu kwenye party. Ama utumie ujanja na ualike mmoja wao lakini sio wote. Pia utapata kuna marafiki ambao wana chuki na wivu tu na mtu, wakipata Fulani amekuja na ‘mnyama’ Range Rover, wanatoboa ama kukwaruza, nhahaha, waepuke hao! #ASANTE

3 comments: