Wednesday, 30 March 2016

HOW TO BE SUCCESSFUL IN LIFE...

Jinsi ya Kufaulu Maishani.


By Evan Mbugua- The Captain

Waza Makuu - Think Big.
Huwezi ukafaulu iwapo utakuwa mwenye fikra za kadri, waza jinsi unavyoweza zindua jambo lipya au ukafanye jambo ambalo wengi wanatenda lakini sasa kwa njia tofauti na bora Zaidi. Kufanya hivi utakuwa umesucceedkatika maisha/life.

Usiogope Kufeli - Don’t Be Afraid of Failure.
Kufeli katika jambo uloazimia au anzisha kwa mara ya kwanza kusikuvunje moyo, la hasha. Hasa kufeli/fail mara ya kwanza huwa ni nafasi nzuri ya kukupa wakati wa kajipanga vikamilifu ili kukabili mtihani ulioko mbele yako. Usife moyo kwa lolote utendalo na hatimaye utafaulu maishani. Atafutaye hachoki akichoka keshapata.

Jitume - Be a Man of Action.
Usilaze damu yani kuwa lazy. Jitume kwa kazi yoyote ile kwa moyo wako wote na utafaulu katika haya maisha. Hata andiko takatifu lahimiza utenda kazi maana Rabii hubariki kazi ya mikono yote.

Epuka Ugomvi- Avoid Conflicts.

Watu ni mali. Usiwe mtu wa ugomvi na watu wengine katika mazingira yako ya kikazi au makazi/residence. Buni njia za kutatua migogoro lakini zaidi jua jinsi ya kuiepuka, migogoro, na katika maisha yako niamini utafaulu.

Zingatia mtizamo chanya- Maintain a Positive Attitude
Hamna venye utafaulu maishani ukiwa na mtizamo hasi/negative. Utakapo pania mtizamo hasi hapo ndipo utakosa kufaulu katika maisha. Kuwa na mtizamo chanya/positive katika maisha hiyo ndo lele/beginning ya kufaulu.
#AHSANTE.

Thursday, 24 March 2016

HOW TO REDUCE BODY TEMPERATURES...



Epuka Joto Jingi Hivi>>>>
1. Kunywa kinywaji baridi – Cool fluids. Kunywa kinywaji baridi wakati wa joto jingi, kitapunguza joto mwilini. Tumia maji, soda ama pia crushed ice.


2. Usile chakula moto- Avoid eating spicy and hot foods. Ukiwa na joto, kisha ule chakula moto, basi unaongeza joto, kula chakula warm tu kidogo. 

3. Epuka mazoezi- Avoid exercises. Kama umezoea kufanya mazoezi ama kazi ngumu, jaribu kupunguza ama kuacha sababu inachochea joto mwilini mwako.


4. Oga maji baridi- Take a cold shower. Hii itasaidia ku cool ngozi ambapo kulingana na daktari, inasaidia sana kupunguza joto jingi mwilini.

5. Tumia Kiyoyozi - Air Conditioner. Kiyoyozi au hata pepeo/fan kinapunguza hali ya joto jingi katika mazingira/environment uliyoko.  

6. Vaa nguo nyepesi- Wear light clothes. Vaa nguo nyepesi na ambazo ziko loose kidogo. Nguo za rangi nyeupe pia ziatasaidia ku reflect miale ya jua. Hii itapunguza joto mwilini. #ASANTE



Friday, 18 March 2016

HOW TO QUIT ALCOHOL...

 Jaribu haya na utasahau ulevi kabisa

1. Badilisha mtazamo wako- Change your attitude. Hii ni hiari yako, hujalazimishwa na mtu, anza kuona faida za kutokunywa pombe na pia jua madhara na hasara ya kunywa pombe. Chagua faida za kuwa sober mtu wangu, hii itakuwa rahisi kwako kuachana na pombe kabisa.

2. Jipangie siku- Plan how to quit. Kuwa mjanja sababu kama wewe ni mraibu/ addict itakuwa balaa kuacha mara moja/ at once. Anza kwa kupunguza, kama unakunywaga kila siku, punguza kidogokidogo utakuwa ushaacha kabisa.

3. Ushauri wa daktari- Seek Medical assistance. Kuasi ama kuacha pombe pia kunaweza kusababisha madhara ya kiafya, withdrawal Symtoms. Kwa mfano mshtuko, mapigo ya moyo zaidi, kutetemeka NK. Ukiona hivi, tafadhali muone daktari atakusaidia.

4. Epuka Walevi- Avoid drunk friends. Hawa watakuingiza kwa majaribu, watajitolea hata wakununulie pombe. Waepuke uwezavyo mtu wangu, punguza time yao.

5. Kuwa Busy- Keep yourself busy. Wakati uko free, jaribu kujipa tushughuli hapa na pale, cheza, soma, swim, watch NK ili usiwe tempeted kukunywa pombe. #ASANTE
                             


Wednesday, 16 March 2016

HOW TO CUT WEIGHT NATURALLY.....

Losing Weight Naturally

1. Epuka mafuta- Avoid fats. Epuka chakula ambacho kina mafuta mengi/ calories na pia sukali nyingi na utakuwa unapiga hatua katika kupunguza uzito.
2. Kula mboga- Eat vegetables. Mboga ziko na fibre, proteni na vitamini madini ambayo yanafanya uwe na uzani wa wastani na kuwa na afya bora sio bora afya.
3. Kunywa maji- Drink enough water. Maji huwa ni muhimu sana mwilini, kunywa maji ya kutosha kila siku na utakuwa unasawazisha/ balance uzito wa mwili wako.
4. Kunywa sharubati/juisi ya matunda- Avoid Carbonated Beverages. Vinywaji ambavyo viko carbonated huwa vina calories nyingi tu ambayo inaongeza uzito mwilini, badala yake tumia matunda kwa wingi.
5. Fanya tizi- Exercise. Kufanya tizi kwa dakika kadhaa kila siku kutachoma mafuta mengi mwilini mwako, cheza, kimbia, tembea, panda ngazi/ stairs enda gym NK. #ASANTE




Wednesday, 9 March 2016

FOR A SMOOTH SKIN, THIS IS HOW TO MAINTAIN....

Unataka Ngozi Yako Ipendeze?? Fuata Haya...



1. Usafi- Keep your skin clean. Usafi ni kitu cha maana sana, hakikisha unaosha ngozi yako angalau mara mbili kwa siku. Usilale kama ngozi yako ni chafu, hii inasaidia kupumua kwa ngozi yako.

2. Unyevu- Use Moisturizer. U sikubali ngozi yako ikauke. Tumia mafuta ambayo yataiwezesha ngozi yako kuwa na unyevu. Ukishamaliza kuoga, tumia mafuta yanayokufaa.

3. Kula vizuri- Healthy Diet. Chakula kizuri na maanisha balanced diet huwa kinasawazisha mahitaji yote ya mwili ikiwemo ngozi. Chakula kilicho na vitamini A, C, B6, B1 na D kinasaidia kuinyoosha na kuiweka ngozi yako laini.

4. Epuka jua kali- Avoid direct and strong Sunrays. Jua kali huiharibu ngozi kabisa. Usianike ngozi yako kwa jua kali moja kwa moja. Jua kali husababisha ngozi kukunjana, kuwa ngumu na wakati mwingine saratani/kansa.

5. Kunywa Maji- Drink more water. Maji husaidia ngozi yako kuwa na unyevu, kunywa angalau glasi 8 kila siku. Kumbuka maji ni uhai.#ASANTE

Friday, 4 March 2016

HOW TO APPROACH A GIRL, FIRST TIME....

Uta Approach Dame Aje Kwa Mara ya Kwanza?? 


1. Jiamini/ kuwa jasiri- Be confident. Kumbuka hamjawai kukutana, ni mara ya kwanza, kusanya ujasiri wako, jiamini ati unaweza, usiogope, usitetemeke, usihahe, kuwa jasiri.

2. Ishara- Body language. Piga tabasamu la kijanja. Msome pia ana ishara zipi za mwili, akitabasamu baaaass!!, mambo laini. Lakini kuwa mjanja sababu kuna msanii alisema, ukichekeshwa haimaanishi umependwa!

3. Macho kwa macho- Maintain eye contact. Mwangalie mtoto usoni, mpe macho kabisa, ukimwangalia machoni huwa inakuongeza ujasiri/confidence. Ukimwangalia, alafu yeye pia anakuangali, ni dhahiri shahiri anataka umuongeleshe. Akiaibika ni sawa tu.. kisha sasa muongeleshe.

4. Msifu/mpongeze- Start with a compliment. Kumpongeza na kumsifu jinsi alivyo, alivyo vaa, anavyo tembea, anavyo tabasamu, anavyoongea itakuwa njia nzuuuri tu ya kumuingiza box. Wasichana/ madame hupenda compliments sana, yani sana.

5. Usimuudhi/usimbore- Avoid boring talks. Kitu hufai kufanya kwa mara ya kwanza ni kumbore dame. Epuka kabisa sababi ukimbore hatataka hata kukuangalia. Kuwa mcheshi/ kuwa mfunny.

6. Usinyamaze- Keep conversation lively. Mpe maneno, usiishiwe, tafauta ata kama ni story za kubuni, ukiishiwa mdanganye pia lakini uongo unakaa ukweli bro,,, nhahaha.

7. Mnunulie kitu- Buy her somethimg. Hata kama ni tunda/apple, sharubati/ yani juice, chocolate, biskuti NK. Hapa utamfanya aone unamjali kwa sana na atashukuru sana. Baada ya hapo agana naye mpaka siku ingine. #ASANTE








Tuesday, 1 March 2016

HOW TO EAT......

6 Ways of Eating Healthy...
 


1. Usikose kiamsha kinywa- Never skip breakfast. Kiamsha kinywa huwa muhimu sana katika kusawazisha uzito wa mwili wako. Kula kiamsha kinywa ‘kizito’ na siku yako itakuwa sawa. Heri ukose chamcha/lunch.

2. Kula chakula Starchy-  Starchy meals. Hakikisha kila chakula kiko na starch, yaani vitu kama mkate, viazi, mchele, cereals, ugali NK. Starch huwa na fibre ambayo ina umuhimu sana mwilini na pia inakushibisha vizuri.

3. Kula matunda- Take fruits. Matunda huongeza uwezo wa kinga mwilini. Pia huongeza hamu ya kula kinoma, yaani appetite. Kula angalau tunda moja kila siku kwa afya bora.

4. Punguza mafuta, sukari na chumvi- Cut down more fat, sugar&salt  in your die. Mafuta na sukari ndio ni utamu mtupu na wengi wetu tunapenda vitamu tamu lakini tamu ikizidi sana ni sumu aisee. Punguza ama uache kabisa.

5. Kunya maji- Take water. Usiumie kwa kiu. Kata kiu. Maji ni muhimu sana mwilini. Asilimia kubwa ya mwili wako ni maji. Wataalamu walisema unywe glasi nane kila siku.

6. Tafuta samaki- Eat more fish. Samaki huwa na madini nyingi sana na pia ni chanzo cha vitamin. Huenda ikawa balaa kwa wengine kupata samaki lakini jaribu ule samaki mtu wangu.