Friday, 4 March 2016

HOW TO APPROACH A GIRL, FIRST TIME....

Uta Approach Dame Aje Kwa Mara ya Kwanza?? 


1. Jiamini/ kuwa jasiri- Be confident. Kumbuka hamjawai kukutana, ni mara ya kwanza, kusanya ujasiri wako, jiamini ati unaweza, usiogope, usitetemeke, usihahe, kuwa jasiri.

2. Ishara- Body language. Piga tabasamu la kijanja. Msome pia ana ishara zipi za mwili, akitabasamu baaaass!!, mambo laini. Lakini kuwa mjanja sababu kuna msanii alisema, ukichekeshwa haimaanishi umependwa!

3. Macho kwa macho- Maintain eye contact. Mwangalie mtoto usoni, mpe macho kabisa, ukimwangalia machoni huwa inakuongeza ujasiri/confidence. Ukimwangalia, alafu yeye pia anakuangali, ni dhahiri shahiri anataka umuongeleshe. Akiaibika ni sawa tu.. kisha sasa muongeleshe.

4. Msifu/mpongeze- Start with a compliment. Kumpongeza na kumsifu jinsi alivyo, alivyo vaa, anavyo tembea, anavyo tabasamu, anavyoongea itakuwa njia nzuuuri tu ya kumuingiza box. Wasichana/ madame hupenda compliments sana, yani sana.

5. Usimuudhi/usimbore- Avoid boring talks. Kitu hufai kufanya kwa mara ya kwanza ni kumbore dame. Epuka kabisa sababi ukimbore hatataka hata kukuangalia. Kuwa mcheshi/ kuwa mfunny.

6. Usinyamaze- Keep conversation lively. Mpe maneno, usiishiwe, tafauta ata kama ni story za kubuni, ukiishiwa mdanganye pia lakini uongo unakaa ukweli bro,,, nhahaha.

7. Mnunulie kitu- Buy her somethimg. Hata kama ni tunda/apple, sharubati/ yani juice, chocolate, biskuti NK. Hapa utamfanya aone unamjali kwa sana na atashukuru sana. Baada ya hapo agana naye mpaka siku ingine. #ASANTE








6 comments:

  1. Nhaha i will try this, not tomorrow, today!!

    ReplyDelete
  2. I tried this successfully....

    ReplyDelete
  3. Lol.. we mfani kweli but hujapa vile mtu atakeep the conversation going ama vile wafaa kuwa mcheshi

    ReplyDelete